Skip to content

Jimbo la Tambarare

Jimbo la Tambarare ni mojawapoya Majimbo matatu ya KKKT Dayosisi ya Pare. Sehemu kubwa Jimbo linahudumu katika maeneo ya Tambarare  ya Wilaya ya Same

Jimbo la Mashariki

Jimbo la Mashariki ni mojawapo ya Majimbo matatu ya KKKT Dayosisi ya Pare kwa sehemu kubwa Jimbo linahudumu katika maeneo ya milimani  mwa Wilaya ya Same.

Jimbo la Magharibi

Jimbo la Maghaibi ni mojawapo ya Majimbo matatu ya KKKT Dayosisi ya Pare kwa sehemu kubwa Jimbo linahudumu katika maeneo ya milimani  mwa Wilaya ya Same


Our Hostel

Aman Hostel ni kituo cha Dayosisi kinachotoa Huduma nzuri za Malazi, Chakula/Vinywaji na Huduma za Ukumbi.

HABARI -BLOG