Semina ya Wachungaji na Wenzi wao.
Mhe Baba Askofu Charles Rabson Mjema Leo Tarehe 11 Juni 2024, amefungua Rasmi Semina ya Wachungaji na Wenzi wao, Semina Hii itakuwa ya Siku 4 na yanafanyika Mkoani Morogoro, Kata Kilakala. Semina hii ni kwa wachungaji wote wa Dayosisi ya Pare waliopo Kazini. Semina hii inafanyika kwa Ushirikiano na Taasisi ya Uongozi na Uchungaji ya … Continue reading Semina ya Wachungaji na Wenzi wao.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed